1. KITAMBULISHO CHA TAIFA (NIDA) NI MUHIMU

Hii ni kutokana na kwamba kitambulisho hiki kina taarifa ambazo tunaamini taarifa sahihi za Muhusika zinapatikana. Pia kujihakikishia usalama kwa muhusika pamoja na taasisi yetu.

2. Umri

Ni lazima awe na umri wa miaka 18 na kuendelea

3. Uraia

Ni lazima awe Mtanzania

4. Kitambulisho

Ni lazima awe na kitambulisho cha Taifa (NIDA)

5. Ndugu wa karibu

Lazima awe na taarifa za Ndugu wa karibu

6. Mdhamini

Lazima awe na taarifa za mdhamini na (NIDA)

7. Njia ya malipo

Lazima aainishe namba ya simu au AKAUNTI.